Hip Hop Rapa Kutoka Dallas Marekani CCstruggsAmbae Jana Madaktari Waliripoti Kuwa Amebakiza Miezi Miwili Tu ya Kuishi, AMEFARIKI DUNIA
C Struggs alikuwa akisumbuliwa na Cancer ambayo amekuwa akiihangaikia kwa muda mrefu Ugonjwa ambao kwa Mujibu wa Madaktari ulikuwa umesambaa mwili mzima na asingezewa kupona tena.
C Struggs alikuwa akisumbuliwa na Cancer ambayo amekuwa akiihangaikia kwa muda mrefu Ugonjwa ambao kwa Mujibu wa Madaktari ulikuwa umesambaa mwili mzima na asingezewa kupona tena.

No comments:
Post a Comment