Monday, August 6, 2018

ACCOUNT YA ZARI IMEPATIKANA BAADA YA KUIBIWA NA WATU WASIOJULIKANA


Account Ya Mfanyabiashara na Mwanamitindo @zarithebosslady Imepatikana baada ya kudukuliwa na Wezi wa Mtandaoni (Hackers) Muda Mfupi Uliopita.

Ikiwa leo ni Siku ya Kuzaliwa ya Mtoto wake @princess_tiffah Muda Mfupi Baada tu ya Kudondosha Birthday Wishes, Page hiyo yenye Follower Zaidi ya Milioni 4 ilifutika Post Zote na Baada ya Hapo kila Kitu Kikawa Hakionekani.

Hivi Sasa Idadi ya Watu ambao Wameifuata na Amewafuata (Followers & Following) Katika Page Hiyo walikuwawhawaonekani lakini kwa kwa sasa wamerudi kama walivo.

No comments:

Post a Comment